KUTANA NA MTOTO WA MCHEZAJI DAVID BECKHAM AKIWA NA MCHUMBA WAKE.
Ana
umri wa miaka 15 mpaka sasa na la kushangaza zaidi ni kwamba ana
rafiki wa kike (girlfried) ambaye wazazi wake yanai David Beckham pamoja
na victoria wanamjua na wamemruhusu mtoto wake kudate na msichana huyu
ambapo mpaka sasa wnatimiza miez mitatu tangu anze kujishughughulisha na
maswala ya kimapenzi.Kingine cha ajabu zaidi ni kwamba mpenzi wake huyu
naye ni star lakin katika fani ya filamu anajulikana kwa jina
la starlet Chloe Moretz ambaye ana miaka kumi na saba sasa 17,zitazame
picha hizi wakiwa pamoja kwenye maeneo tofauti
source:kishymba
0 comments:
Post a Comment